2023-10-12T11:28:00+00:00
KANDANDA Gamondi akuna kichwa makundi Afrika
Tayari Yanga wameshatambua kundi ambalo watakuwa kupambania pointi likiwa ni pamoja na Al Ahly ya Misri kwenye kundi hilo.
2023-10-12T11:28:00+00:00
Tayari Yanga wameshatambua kundi ambalo watakuwa kupambania pointi likiwa ni pamoja na Al Ahly ya Misri kwenye kundi hilo.
2023-10-09T20:00:00+00:00
Hayo ni makubaliano ya muda wa miaka mitatu ambapo ni sh. milioni 900 zitapatikana kwa muda wa miaka mitatu.
2023-10-08T06:45:00+00:00
Ushindi huo, umeifanya Yanga kujikusanyia alama 12 na kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi sawa na Simba SC iliyo nafasi ya tatu.
2023-10-04T20:00:00+00:00
Matokeo hayo ni kama yaliyotokea Novemba 29, mwaka jana kwenye uwanja huo huo ambapo 'unbeaten' ya Yanga iliishia hapo kwa kufungwa idadi kama hiyo ya mabao.
2023-10-02T11:30:00+00:00
Yanga jana imefuzu hatua hiyo kwa mara ya kwanza ikipita miaka 25 baada ya kuibuka na ushindi wa jumla wa mabao 3-0 dhidi ya Al-Merreikh ya Sudan.
2023-09-25T19:53:00+00:00
Beki hiyo wa kushoto, amepata maumivu hayo baada ya kuchezewa vibaya na Hashim Manyanya na moja kwa moja kutolewa nje ya uwanja.
2023-09-21T18:34:00+00:00
Ushindi huo, umeifanya Yanga kufikisha alama 9 kutokana na kushinda michezo yake mitatu ya kwanza.
2023-09-20T12:09:00+00:00
Ajali hiyo imetokea eneo la Miteja karibu na Somanga na kusababisha vifo hivyo na majeruhi 30.
2023-09-16T18:40:00+00:00
Timu hizo zitarudiana tena mwishoni mwa mwezi huu uwanjani Azam Complex jijini Dar es Salaam.
2023-09-15T13:00:00+00:00
Yanga itashuka uwanjani Pele mjini Kigali, Jumamosi saa 10 jioni kuumana na timu hiyo katika mechi ya mkondo wa kwanza wa michuano hiyo.