)
2023-11-13T20:30:00+00:00
KANDANDA Wajue makocha wanaopewa nafasi kuinoa Simba
Simba waliachana kwa amani na Robertinho siku chache tu baada ya kupokea kipigo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika Novemba 5.
2023-11-13T20:30:00+00:00
Simba waliachana kwa amani na Robertinho siku chache tu baada ya kupokea kipigo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu uliofanyika Novemba 5.
2023-11-13T10:45:00+00:00
Ilikuwa ni miongoni mwa timu nane ambazo zilishiriki michuano hiyo iliyofanyika kwa mara ya kwanza Afrika na uzinduzi wake ulifana katika ardhi ya Tanzania.
2023-11-07T12:48:00+00:00
Simba imefikia hatua hiyo ikiwa zimepita siku mbili tangu wafungwe mabao 5-1 na watani zao wa jadi, Yanga katika mfululizo wa mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara
2023-11-06T07:31:00+00:00
Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani ya Watanzania
2023-11-04T15:33:00+00:00
Sina presha yoyote tumejiandaa kama tunavyofanya kwenye mechi nyingine, kikubwa kesho ni kujiepusha na makosa kwani makosa madogo yanaweza kuamua mechi
2023-11-04T14:33:00+00:00
Mimi ni raia wa Brazil ni nchi ya mpira, binafsi napenda kucheza mechi kubwa na kwa siku ya kesho nimekiandaa kikosi changu kwa ajili ya kucheza mchezo dhidi ya Yanga.
2023-10-30T12:07:00+00:00
Robertinho amesema mchezo wa 'derby' siku zote huwa ni mgumu na ndio maana anahitaji muda kwa ajili ya kukiandaa kikosi chake ili kufanya vizuri kwenye mchezo huo.
2023-10-28T21:00:00+00:00
Ushindi huo, umeifanya Simba kufikisha alama 18 sawa na vinara Yanga ila zinatofautiana kwa mabao na kuifanya ibaki nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo.
2023-10-24T18:42:00+00:00
Simba sasa wanarudi nyumbani wakiwa wamejihakikishia kitita cha dola milioni 1 ambazo ni sawa na shilingi bilioni 2.3 za Kitanzania.
2023-10-24T07:00:00+00:00
Mchezo huo utachezwa kuanzia saa 11 jioni kwa saa za Afrika Mashariki na Kati kwenye Uwanja wa Cairo.