)
2023-12-13T10:00:00+00:00
KANDANDA Simba SC yaingia kambini kuiwinda Kagera Sugar
Inaingia kambini ikitoka kufungwa bao 1-0 na Wydad Casablanca katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika
2023-12-13T10:00:00+00:00
Inaingia kambini ikitoka kufungwa bao 1-0 na Wydad Casablanca katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika
2023-12-11T19:49:00+00:00
Kocha huyo wa Simba amesikitishwa na wachezaji wake kutofunga mabao mengi katika michuano ya kimataifa
2023-12-11T15:38:00+00:00
Michuano hiyo hufanyika kila mwaka ikiwa ni katika shamrashamra za kusherehekea mapinduzi ya uhuru wa visiwa hivyo
2023-12-02T17:35:00+00:00
Timu hiyo imebanwa mbavu kwa kupata alama moja ugenini, ikiwa ni sare ya pili mfululizo katika michuano hiyo
2023-12-01T10:25:00+00:00
Huo ni mchezo wake wa kwanza utakuwa kwa Kocha huyo tangu ajiunge na Simba SC
2023-12-01T08:11:00+00:00
Ni kwa ajili ya mchezo wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika, utakaopigwa Jumamosi.
2023-11-30T08:36:00+00:00
Amekutana na wachezaji wake kwa mara ya kwanza tangu apewe majukumu ya kuinoa timu hiyo kwa mkataba wa miaka 2
2023-11-28T18:54:00+00:00
Ana uzoefu wa kufundisha soka la Afrika kwa miaka 20, akipita katika timu za Raja Casablanca, Club Africain, timu ya Taifa ya Algeria, RS Berkane na CR Belouizdad.
2023-11-27T20:08:00+00:00
Timu hiyo imecheza mechi tatu mfululizo bila ushindi katika mechi za Ligi Kuu Bara na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
2023-11-22T15:04:00+00:00
Uzinduzi huo umefanyika jijini Dar es Salaam ambapo kama kawaida wametoa jezi za aina tatu yaani nyekundi, nyeupe na ya bluu