)
2023-11-14T15:31:00+00:00
FKFPL Gor Mahia secure friendly against Tanzanian side Azam
K'Ogalo and Azam FC gear up for an international friendly, providing a platform for talent assessment and cross-border footballing camaraderie.
2023-11-14T15:31:00+00:00
K'Ogalo and Azam FC gear up for an international friendly, providing a platform for talent assessment and cross-border footballing camaraderie.
2023-11-07T13:08:00+00:00
Fei Toto amerudishwa kikosi baada ya kuonesha kiwango bora tangu kuanza kwa msimu huu akifunga mabao manne na asisti zaidi ya mbili katika mechi nane za Ligi Kuu Tanzania Bara.
2023-11-05T16:30:00+00:00
Kocha huyo amewahi kuifundisha Azam kabla ya kuvunjiwa mkataba na nafasi yake kuchukuliwa na Kali Ongala
2023-11-04T17:34:00+00:00
Azam sasa wakifikisha alama 19 wakiwa wameshuka dimbani mara nane wakiwaacha Yanga na Simba ambao wanacheza kesho wakiwa na alama 18.
2023-10-31T11:32:00+00:00
Mkataba wake wa awali ulikuwa unatarajiwa kuisha mwishoni mwa msimu huu, hivyo sasa mkataba wake mpya utamuhakikishia maisha marefu zaidi na miamba hiyo.
2023-10-29T07:02:00+00:00
Katika mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Azam Complex, Azam wamefungwa mabao 3-1 na Namungo.
2023-10-23T20:16:00+00:00
Mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, umeifanya Yanga kupanda kileleni mwa msimamo wa ligi.
2023-10-05T19:16:00+00:00
Kiungo wa Azam FC, Yannick Bangala, ameumia nyama za paja katika mechi na hajulikani muda wa kupona
2023-10-02T12:11:00+00:00
Wachezaji hao wanaendelea na programu ya kutibu majeraha yao chini ya uangalizi wa Mtaalamu wa tiba za viungo wa timu, Joao Rodrigues.
2023-09-13T16:30:00+00:00
Timu kubwa za Tanzania zimeungana kuisapoti Singida Fountain Gate dhidi ya Future FC ya Misri katika Kombe la Shirikisho Afrika.